Monday, July 16, 2012

BRAND NEW TRACK MAGZIE ft ROTTA-ULINGONI

Wednesday, May 9, 2012

STAMINA FT JUX - ALISEMA (Official Video)


Tuesday, May 1, 2012

Avengers katika sinema leo

Katika kutizama kwangu filamu za marvel ,The avengers-watazamaji hatutaweza subiri mpaka mwisho wa filamu kushangiria kwani katikati ya action sequence katika onyesho la tatu la story, team nzima ya avengers,ikijumuisha Iron man, Hulk, Thor,  Captain america, Hawkeye, na Black Widow, wana assemble kwenye screen na kufanya mtazamaji kubaki na butwaa.Hii inaonyesha ni kwa kiasi gani filamu hii livyo tengenezwa kwa umakini mkubwa na jinsi waigizaji wake wanavyo weza kusadifu uhusika wao na jinsi dialogue na script vilivyo tengenezwa kwa umakini pia.
Avenger ni muendelezo wa baadhi ya ya filamu za marvel universe. Filamu inaanza pale Loki (Tom hilddleston) anaporudi tena dunia na kuiba “the Tesseract” an alien source of pure energy, na kutishia kuteka dunia nzima kwa msaada wa jeshi lake la viumbe kutoka dunia nyingine liitwalo “the chitauri”.
Nick Fury (Samuel L. Jackson), kiongozi wa covert government outfit inayoitwa  S.H.I.E.L.D anaunda team ya super heroes iitwayo The Avengers (Robert Downey Jr,Chris Hemsworth, Chris Evans, Mark Ruffalo, Scarlett johnsson, Jeremy Renner)  kuzuia mipango ya Loki.
Filamu nyingi za marvel zimekuwa na action kidogo ila The Avengers ina rekebisha ilo ikionekana kutumia falsafa ya “go big or go home” na action yake imepangiliwa na inakwenda na story pia Whedon anafanya cut kwenye filamu hii ili kutuonyesha kila kinachoendelea kwa heroes tofauti . The final battle kati ya superhero team na jesh la Loki ni better kuliko action zote kwenye filamu za marvel pamoja na uzidishe kwa kumi.
Whedon anajulikana kwa kutengeneza wahusika wenye akili,upeo na kukua ki hisia, na filamu hii inaendeleza umaarufu huo.filamu hii pia ina furahisha  kote kwenye dialogue na hata physical humor( ambapo Loki anapambana na Hulk). Japokuwa inaanza kama imepooza ila inakuja pamoja haraka pale mwandishi/director anapo fanikiwa kuelezea story na kuchanganya high-tension fight na action sequence.Post Kwa Msaada wa PopoteTZ