Wednesday, February 22, 2012

K'Naan atangaza album yake mpya itayotoka hivi karibuni iitwayo kwa jina la "Country, God or the Girl"

K'Naan,msanii kutoka label ya A&M records atangaza tarehe ya kuiachia album hiyo mpya  iitwayo kwa jina la "Country, God or the Girl".Album hio itaachiwa tarehe 1 May mwaka 2012.Album hio itakuwa na ngoma kadhaa ambazo zimeshirikishwa na wasanii kutoka Marekani kama Nas ,Will.i.am,U2,Nellly Furtado na Keith Richards

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.