Saturday, January 7, 2012

Mziki wa Tanzania haulipi "AGIECOX"

Mwanamziki toka nchini UGANDA ambae kwa sasa anatamba na nyimbo ya Jelousy amesema anapenda sana kuishi TANZANIA,bt anashindwa kwani ye anategemea sana mziki,,hivyo anashindwa kwa sababu mziki wa kitanzania haulipi ,,Anasema nchini UGANDA wasanii wanafaidika hatakama hawajawa wasanii wakubwa,,Alisema alifurahi sana alipofanya kazi na msanii toka TZ ambae anajulikana kwa jina la VUMBE na kusema alimpenda sana VUMBE tangu alipomsikia mara ya kwanza,,VUMBE anauwezo mkubwa kwani anajiamini sana,,pia alimuomba kama vipi akafanyie mziki wake UGANDA,

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.